MWANAMKE mmoja mkazi wa kijiji cha Upendo
mkoani Mbeya Maria Mwamangu (56) ameuawa kwa kunyongwa na kisha mwili wake
kutelekezwa chumbani mwake.Kabla ya kunyongwa, mwanamke huyo aliharibiwa vibaya
sehemu za siri kwa kubakwa na watu wasiojulikana.Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani
Mbeya, Robert Mayala alisema tukio limetokea usiku wa kuamkia jana na mwili wa
marehemu ulikutwa jana mchana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
MPYA KALI BLOGS by J&M COMPANY: AJALI MBAYA YAUA ARUSHA
-
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dr.John Pombe Joseph Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na mbunge wa mtama Mh. Nape Nauye. ...
No comments:
Post a Comment