Aibu kubwa bado inaendelea kuitawala nchi kwa wimbi la wanavyuo wa vyuo vikuu kufanya mambo machafu ambayo anaashiria ngono uzembe. hii ni kutokana na kuenea kwa picha mbalimba za wanavyuo hao katika mitando mbalimbali wakiwa wanafanya ngono.
Mwandishi wetu anaeleza kuwa sababu kuu zinazopelekea wanafunzi hao kufanya vitende hivyo vichafu ni kutafuta pesa za kujikimu kimaisha. Akizungumza na mwandishi wetu mmoja wa wanachuo wa chuo Kikuu (DUCE) jina limehifadhiwa. Amesema kuwa "tabia hiyo ipo sana kwa wanafunzi wakike kwa wengi wao kutokana na tamaa na matumizi makuwa pindi wapatamo pesa za kujikimu (BOOM)" alisema mwanachuo huyo.
+(1).jpg)

No comments:
Post a Comment