Friday, 21 February 2014

CHADEMA yajigawa

        Sakata la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kujigawa bado linapamba kasi kwa Baadhi ya viongozi na vigogo wa chama hicho kuunda chama kipya kijulikanacho kwa  Alliance for change and transparent (chama cha uwazi na uwajibikaji). chama hicho huongozwa na Mh. Zitto kabwe Mbunge wa Kigoma kaskazini

No comments:

Post a Comment

AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA

Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...