Baada ya matokeo ya kidato cha nne 2013 kutoka hivi karibuni, yamesikika mengi kwa wadau wa elimu kutokana na ufaulu mbovu wa wanafunzi. Ingawaje Serikali kupitia wizara yake ya elimu na ufundi imepunguza alama za ufaulu. Hii inasemekana ni kutokana na tabia za wanafunzi kujihusisha zaidi na mambo ya ukahaba. Akiongea na paparazi wetu mzee moja (jina limehifadhiwa) aishie Keko machungwa jijini Dar es salaam amesema " tatizo kubwa ni watoto wenyewe, siku hizi wamekuwa wakienda shule na nguo fupi sana huku maungo yao ya mwili yakiwa wazi, na wengi wao kati ya wenye tabia hizo huwa huishia kwa wanaume" alisema mzee huyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
MPYA KALI BLOGS by J&M COMPANY: AJALI MBAYA YAUA ARUSHA
-
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dr.John Pombe Joseph Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na mbunge wa mtama Mh. Nape Nauye. ...
.jpg)
No comments:
Post a Comment