Sunday, 16 February 2014
MAMA APIGWA MPKA KUZIMIA SABABU YA MAJI
Mwanamke mmjo Jijini Dar es salaam apigwa mpaka kuzimia na binti wa makamo. chanzo chetu kimeeleza kuwa mama huyo ambae jina lake limehifadhiwa walikuwa wakigombania foleni ya maji na binti huyo ambae pia jina lake limehifadhiwa katika mtaa wa keko machungwa ( Barracks bomba la polisi) ndipo binti huyo alipomkaba mama huyo shingo na kumfanya kuanguka chini kwa pressure na kupoteza fahamu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
MPYA KALI BLOGS by J&M COMPANY: AJALI MBAYA YAUA ARUSHA
-
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dr.John Pombe Joseph Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na mbunge wa mtama Mh. Nape Nauye. ...
No comments:
Post a Comment