Sunday, 16 February 2014

MAMA APIGWA MPKA KUZIMIA SABABU YA MAJI

Mwanamke mmjo Jijini Dar es salaam apigwa mpaka kuzimia na binti wa makamo. chanzo chetu kimeeleza kuwa mama huyo ambae jina lake limehifadhiwa walikuwa wakigombania foleni ya maji na binti huyo ambae pia jina lake limehifadhiwa katika mtaa wa keko machungwa ( Barracks bomba la polisi) ndipo binti huyo alipomkaba mama huyo shingo na kumfanya kuanguka chini kwa pressure na kupoteza fahamu.

No comments:

Post a Comment

AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA

Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...