Wednesday, 19 February 2014

MSANII WA FILAMU BONGO AONESHA TATU HADI KWENYE MAKALIO


            Bado wimbi la wasanii wa bongo kuiga mambo na tabia za wasanii wa magharibi linaendelea kuitawala tasnia ya filamu inchini hapa. Pichani ni picha ya mmoja ya msanii wa bongo ambae anajulikana kama (Rayuu) akionesha tatuu zake ambazo zimeenea mpaka kwenye makalio. picha hizo zimeenea kwenye mitandao tofauti na ni aibu kubwa kwa wasanii hawa

No comments:

Post a Comment

AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA

Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...