Wednesday, 19 February 2014
MSANII WA FILAMU BONGO AONESHA TATU HADI KWENYE MAKALIO
Bado wimbi la wasanii wa bongo kuiga mambo na tabia za wasanii wa magharibi linaendelea kuitawala tasnia ya filamu inchini hapa. Pichani ni picha ya mmoja ya msanii wa bongo ambae anajulikana kama (Rayuu) akionesha tatuu zake ambazo zimeenea mpaka kwenye makalio. picha hizo zimeenea kwenye mitandao tofauti na ni aibu kubwa kwa wasanii hawa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
MPYA KALI BLOGS by J&M COMPANY: AJALI MBAYA YAUA ARUSHA
-
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dr.John Pombe Joseph Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na mbunge wa mtama Mh. Nape Nauye. ...


No comments:
Post a Comment