Wednesday, 19 February 2014

BARCELONA YAGAWA KICHAPO KIZITO

   Tibu ya Barcelona ya nchini Spain jana imeendeleza ubabe wake kwa timu za Wingereza baada ya kuichapa Man city jumla ya mabao 2-0. mabao hayo ya Barcelona yaliwekwa kimyani dakika ya 54 na mshambuliaji wake mahiri Lion Messi na jengine kufungwa dakika ya 90 na mchezaji wake Alves. Matokeo hayo yameiweka timu hiyo Spain katika nafasi nzuri huku Man city wakiwa katika wakati mgumu.

No comments:

Post a Comment

AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA

Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...