Tibu ya Barcelona ya nchini Spain jana imeendeleza ubabe wake kwa timu za Wingereza baada ya kuichapa Man city jumla ya mabao 2-0. mabao hayo ya Barcelona yaliwekwa kimyani dakika ya 54 na mshambuliaji wake mahiri Lion Messi na jengine kufungwa dakika ya 90 na mchezaji wake Alves. Matokeo hayo yameiweka timu hiyo Spain katika nafasi nzuri huku Man city wakiwa katika wakati mgumu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
MPYA KALI BLOGS by J&M COMPANY: AJALI MBAYA YAUA ARUSHA
-
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dr.John Pombe Joseph Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na mbunge wa mtama Mh. Nape Nauye. ...

No comments:
Post a Comment