Arusha. gari ndogo aina ya coster ime0ata ajali na kuua zaidi ya wanafunzi 16. wanafunzi hao wa sheule ya lucky vicent sec school . iliyoko norombo jijini arusha walikuwa wakielekea shule rafiki kwa ajili ya kufanya mitihani ya kujipima ya ujirani mwema. ajali hiyo imetoke eneo la rotia karatu leo asubuhi. mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi, pia awape roho za ujasiri na uvumilivu familia za wanafunzi hao aamin
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
AJALI YA MOTO SHULE YA OLD TANGA
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
Ajali ya moto yatokea shule ya sekondari old tanga leo tarehe 18/09/2019 mchana.kwa mujibu wa kamanda wa polisi chanzo cha ajali hiyo a...
-
MPYA KALI BLOGS by J&M COMPANY: AJALI MBAYA YAUA ARUSHA
-
Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dr.John Pombe Joseph Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na mbunge wa mtama Mh. Nape Nauye. ...


No comments:
Post a Comment